19. Wimbo Wa Shukrani

1 Mshukuruni Mungu, kwa kuwa Yeye mwema.
Ana fadhili za milele

2 Ni Mungu wa miungu, na Bwana wa mabwana.
Ana fadhili za milele

3 Afanya maajabu, nchi ameiumba.
Ana fadhili za milele

4 Mianga huko juu, mbingu kwa hekima.
Ana fadhili za milele

5 Kwa mchana na usiku, jua mwezi na nyota.
Ana fadhili za milele

6 Alipiga kwa ufu, wazaliwa wa kwanza.
Ana fadhili za milele

7 Alitoa dwa nguvu, Waisraeli tena.
Ana fadhili za milele

8 Na Bahari ya Shamu, Yeye aliigawa.
Ana fadhili za milele

9 Ee, katikati Mungu, Yakoba akamyusha.
Ana fadhili za milele

10 Ee, Farao na watu, akawaangamiza.
Ana fadhili za milele

11 Huwaongoza Mungu, watu katika jangwa.
Ana fadhili za milele

12 Na wafalme wakuu, akawaua pia.
Ana fadhili za milele

13 Sihoni, tena Ogu, akawachinda Bwana.
Ana fadhili za milele

14 Nchi yao ni fungu, Yakobo akapewa.
Ana fadhili za milele

15 Katika udhilifu, sisi hutukumbuka.
Ana fadhili za milele

16 Wote watesi wetu, wao wamefukuzwa.
Ana fadhili za milele

17 Viumbe, Walimwengu, wanapewa chakula.
Ana fadhili za milele

18 Mshukuruni Mungu, mbinguni anadaa.
Ana fadhili za milele

Text Information
First Line: Mshukuruni Mungu, kwa kuwa Yeye mwema
Title: Wimbo Wa Shukrani
Refrain First Line: Ana fadhili za milele
Language: Swahili
Publication Date: 1994
Scripture: ;
Topic: Irada, Sifa Na Injil
Notes: Sauti ya Kihaya: "Tufurahi na Kuimba" #1, Milo wa F - Mapigl 4/4
Tune Information
(No tune information)



Suggestions or corrections? Contact us