Nchi na vyote viijazavyo ni mali ya Bwana,
dunia na wote wakaao ndani yake.
Ee Bwana, umenichunguza na kunijua.
Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana.
Naam, vyote vilivyo ndani yangu vilihimidi jina lake takatifu.
Mwimbieni Bwana wimbo mpya,
Mwimbieni Bwana nchi yote
Mtukuzeni Bwana pamoja nami,
na tuliadhimishe jina lake pamoja
Text Information | |
---|---|
First Line: | Nchi na vyote viijazavyo ni mali ya Bwana |
Title: | Ibada, Sifa, Na Injili |
Language: | Swahili |
Publication Date: | 2003 |
Scripture: | ; ; ; ; |