1 Bwana amefufuka, Haleluya
Tuimbe na malaika, Haleluya.
Sifa zetu na shangwe, Haleluya.
Na zao zisitengwe, Haleluya.
2 Ukombozi timamu, Haleluya.
Umetimu kwa damu, Haleluya
Mshindi asifiwe, Haleluya.
Yu hai kwa milele, Haleluya.
3 Jiwe, lindo, muhuri, Haleluya.
Vi wapi? na kaburi? Haleluya
Kifo hakimuweki, Haleluya.
Ametoka peponi, Haleluya.
4 Yu hai Mtukufu, Haleluya.
Cha kifo hatuhofu! Haleluya.
Alitufia sisi, Haleluya.
Tuwe huru na sisi. Haleluya.
5 Kichwa chatangulia, Haleluya.
Tupae, nasi pia! Haleluya.
Kwa kuwa tuna fungu, Haleluya.
Mti, kaburi, mbingu, Haleluya.
6 Mdiwe Mwokozi wetu, Haleluya.
Sifa ni yako Yesu, Haleluya.
Utukuzwe pekee, Haleluya.
Ni Wewe Ufufuo, Haleluya.
Text Information | |
---|---|
First Line: | Bwana amefufuka, haleluya |
Title: | Bwana Amefufuka, Haleluya |
Language: | Swahili |
Publication Date: | 1988 |
Source: | Maneno kutoka Kilatini Karne ya 14 |
Notes: | Christ the Lord is risen today, Asili: Lyra Davidies, Service Book and Hymnal #92, Sacred Songs and Solos #158, Junior Hymnal #153, Lutheran Book of Worship #151 |